Christina Shusho - Mwanangu Lyrics

Mwanangu Lyrics

Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 

Wakisema njoo nasi tuvizie ili kumwaga damu 
Tumwote asiye na haki, mwanangu usikubali 
Wana maneno matamu kama asali 
lakini mwisho mchungu kama shubiri 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 

Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 

Mwanangu usiende njiani pamoja nao 
Usienende katika mapito yao 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Miguu yao huenda mbio mauguni 
Na hufany haraka kumwaga damu 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 

Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 

Mwanangu kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa 
Bali wapumbavu hudharau hekima 
Mwanangu usikubali mwenye dhambi akushawishi 
Yasikilize sheria ya baba yako 
Na mafundisho ya mama yako 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Mwanangu mtego hutegwa bure 
Mbele ya macho ya ndege wowote 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Lishike sana neno la Mungu 
Uliandike kwenye kibao cha moyo 
Mwanangu usikubali mwenye dhambi akushawishi 

Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 

Uwe jasiri kama simba, mpole kama njiwa 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Ushike sana elimu, usimwache aende zake 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Heshimu wakubwa kwa wadogo,tajiri na fukara 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi  

Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Usikubali wenye dhambi wakushawishi 
Usikubali wenye dhambi wakushawishi 


Mwanangu Video

Mwanangu Song Meaning, Biblical Reference and Inspiration

Mwanangu is a Swahili song by Christina Shusho, a popular gospel artist from Tanzania. The song has a powerful message that urges believers to stay away from the temptations of sin and hold onto God's word. The song has resonated with many Christians across the East African region and beyond, with its catchy tune and impactful lyrics.

Meaning of the Song

The title of the song, Mwanangu, translates to "my child" in English. The lyrics of the song are directed towards believers, whom the artist refers to as her children. The song warns believers not to be swayed by the temptations of sin and to hold fast to God's word. The lyrics are a reminder of the importance of living a righteous life and avoiding the path of destruction that sin leads to.

Inspiration and Story Behind the Song

There is no specific story behind the song, but it is clear that the inspiration for the song comes from the Bible. The song draws heavily from the book of Proverbs, which is a book of wisdom literature in the Old Testament. Proverbs 1:10-15 warns against the dangers of associating with sinners and being led astray by their ways. The song also draws on other biblical themes such as the importance of obedience to God's word and the need to avoid the path of destruction that sin leads to.

Bible Verses Referenced in the Song

As mentioned earlier, the song draws heavily from the book of Proverbs, which is a book of wisdom literature in the Old Testament. Some of the verses that are referenced in the song include:

-Proverbs 1:10-15 - "My son, if sinners entice you, do not give in to them. If they say, 'Come along with us; let's lie in wait for innocent blood, let's ambush some harmless soul; let's swallow them alive, like the grave, and whole, like those who go down to the pit; we will get all sorts of valuable things and fill our houses with plunder; cast lots with us; we will all share the loot'."

-Proverbs 4:1-4 - "Listen, my sons, to a father's instruction; pay attention and gain understanding. I give you sound learning, so do not forsake my teaching. For I too was a son to my father, still tender, and cherished by my mother. Then he taught me, and he said to me, 'Take hold of my words with all your heart; keep my commands, and you will live.'"

Practical Application of the Song to Christian Living

The message of the song is clear - as believers, we need to stay away from sin and hold fast to God's word. The song serves as a reminder of the importance of living a righteous life and avoiding the path of destruction that sin leads to. For Christians, this means being intentional about our choices and ensuring that we do not allow ourselves to be swayed by the temptations of sin.

The song also speaks to the importance of obedience to God's word. As believers, we are called to live in obedience to God's commands, and the song reminds us of this truth. This means taking the time to study the Bible, seeking God's guidance in prayer, and being intentional about living out our faith.

In conclusion, Mwanangu is a powerful song that serves as a reminder of the importance of living a righteous life and avoiding the path of destruction that sin leads to. As believers, we need to stay away from sin and hold fast to God's word. This means being intentional about our choices, living in obedience to God's commands, and seeking God's guidance in all areas of our lives. Let us take the message of this song to heart and strive to live a life that is pleasing to God. Mwanangu Lyrics -  Christina Shusho

Christina Shusho Songs

Related Songs